Wednesday, October 24, 2012

Usafi Wa Mazingira

Usafi wa mazingira ni njia ya kuendeleza afya kwa njia ya kuzuia mawasiliano ya binadamu na athari za taka.Athari zinaweza kuwa za kimwili,mikrobiyolojia,biyolojia au kemikali vikolezo vya ugonjwa.

Taka ambazo zinaweza kusababisha matatizo ya afya ni kinyesi cha binadamu na wanyama,taka ngumu,maji machafu,taka za viwandani na taka za kilimo.usafi kama njia ya kuzuia magonjwa unaweza kutumika kwa ufumbuzi handisi (kama maji taka na matibabu ya maji machafu),teknolojia rahisi kama vyoo,au matendo ya usafi binafsi kama uoshaji wa mikono kwa sabuni.Usafi wa mazingira kama inavyoelezwa kwa ujumla na Shirika la Afya Duniani (World Health Organisation),inahusu utoaji wa vifaa na huduma ya usalama wa mkojo na kinyesi cha binadamu.Upungufu wa usafi wa mazingira ni sababu kuu ya maradhi duniani kote.Uboreshaji wa mazingira una manufaa makubwa kuzuia athari athari za uchafu katika kaya na katika jamii.Usafi wa mazingira unahusu pia udumishaji wa ratiba ya usafi wa mazingira


,kwa njia ya huduma kama vile ukusanyaji wa taka na maji machafu.Utupaji wa taka ngumu hufanyika katika mashimo ni kawaida iliyofanywa.Umuhimu wa kufukia taka ni kwa upungufu wa kueneza magonjwa na visababishi vya ugonjwa.Ufukiaji wa kila siku pia hupunguza uenezo wa harufu ya taka kwasababu ya upepo,katika nchi zilizoendelea ni sharti kufukia kufanywe kwa njia mwafaka,kwa mfano peerimeta ya mchanga inafaa kutumiwa ili kupunguza uchafuzi wa maji ya kunywa.Lililo la msingi zaidi na lakuzingatiwa ni kutotupa taka ngumu au taka za aina yoyote karibu na makazi ya watu kuepusha mgonjwa ya mlipuko kwa jamii.


Monday, October 22, 2012

BIASHARA NDOGONDOGO.



Tanzania ni nchi mojawapo katika nchi tatu zinazoongoza kwa kasi ya kukua,kutokana na takwimu za vyama vya kimataifa.Na pia kutokana na takwimu hizo pia zinaonyesha uchumi wa bara la afrika unakua kwa kasi zaidi kuliko mabara mengine.

thumekua tukishuhudia watanzania wengi sasa wakijihusisha na ujasiriamali kwa kuanzisha biashara ndogondogo zinazowapatia kipato.
Bwana Abubakari Fikiri (31) maarufu kwa jina la 'Fundi Abuu',amekua akijishughulisha na shughuli za ushonaji nguo kwa mwaka wa tatu sasa.Alisema kuwa,kazi hiyo inamsaidia kupata kipato anachoweza kujikimu mahitaji yake yote na familia yake,kama alivyoeleza akiwa mtoni kijichi,jijini Dar es Salaam.

Katika banda hili,huuzwa vitu vya kiasili kama vile vikapu,vikoi,michoro mbalimbali na urembo kama vile hereni na vingine vingi.Bidhaa hizi huandaliwa na wabunifu na wajasiriamali wa kikundi cha Umoja wa jijini Dar es Salaam

Bwana Selemani Idd (28),ni mjasiriamali anaeuza viazi ulaya katika soko la mtongani wilaya ya temeke, jijini Dar es Salaam.

Inafurahisha na kuleta matumaini sana kuwaona ndugu zetu hawa wa jijini Dar es Salaam walivyoamua kutumia ubunifu,ujuzi na bidii bila kukata tamaa.Hawakujali hali waliyo kua nayo na kuanzisha biashara ndogondogo kwa malengo ya kufanikiwa.Hii ni changamoto kwa watu wote,ili taifa liendelee na kukua kiuchumi ni lazima tuwe wabunifu na kujituma bila kukata tamaa katika hali yoyote.
.

Monday, October 8, 2012

Kijana Abdul Mohamed wa kundi la T.Afrika akionyesha umahiri wake katika sarakasi.
Vijana wa kikundi cha T.Afrika wanaojishughulisha na kucheza ngoma za asili na sarakasi,pia ni washindi wa shindano la Dance Mia Mia (2012)  lililoanzishwa na televisheni ya East Africa
Dar es Salaam ni jiji  maarufu linalotambulika kibiashara,lakini wakazi wa pembezoni mwa jiji hili wamekua wakijihusisha na kilimo cha bustani ndogo ndogo kwa mahitaji ya kila siku.

Meli inayosafirisha kokoto kutoka Bagamoyo kwenda Mafya,ikiwa imetia nanga pembezoni mwa bahari ya Hindi ikipakia kokoto tayari kwa kusafirishwa.  


Tuesday, October 2, 2012

TRADITIONAL DANCE



"Ngoma" is the majour tradional dance in Tanzania.Traditional dances come in a variety of stley including Omutoro,Amayago,Mulekule,Amakondele,Akasimbo,Mdundiko and so many others.These traditional songs differ in areas of origin and status,such as funeral ceremony songs,spiritual and wedding songs.

Tanzania's social fabric charm is the prime attraction for cultural and eco-tourism.The folklore,the traditional "Ngomas" and the dancing styles vary from one tribe to another .When dancing,the Makonde vibrates their bottoms in "Sindimba" and the"Zaramo" bounce the undulating "Mdundiko" procession.

The Maasai in their leaping dance going simultaneously with rythimic chant of their deep voices which can scare even a he lione! The use of live snakes by the "Sukuma" such as embracing huge pythons and struggling with during the "Bugobogobo" dance turn such as occasions into unforgettable scenes to a visitor.Each of the 120 tribes has its ngoma and dancing all of which styles are quite facinating and sometimes sexy.

Various dressing styles are also majour attraction to a visitor.The maasai men put a light toga-like drape inadequately covering their lithe bodies while carrying traditional weapons such as speaars,clubs and large knives.The Maasai women on the other way, heavily load their necks ,arms,legs and ears with jewelrly ranging from beads to metal ornaments.Usual men smear their bodies with Ochre mixed with animal fat and plait their hair.

Traditional dances in Tanzania also attract mostly the visitors from outside our coutry who are the tourists.Traditional dance should be promoted because most of the youth at present time engage them selves in dancing as their proffesion.