Taka ambazo zinaweza kusababisha matatizo ya afya ni kinyesi cha binadamu na wanyama,taka ngumu,maji machafu,taka za viwandani na taka za kilimo.usafi kama njia ya kuzuia magonjwa unaweza kutumika kwa ufumbuzi handisi (kama maji taka na matibabu ya maji machafu),teknolojia rahisi kama vyoo,au matendo ya usafi binafsi kama uoshaji wa mikono kwa sabuni.Usafi wa mazingira kama inavyoelezwa kwa ujumla na Shirika la Afya Duniani (World Health Organisation),inahusu utoaji wa vifaa na huduma ya usalama wa mkojo na kinyesi cha binadamu.Upungufu wa usafi wa mazingira ni sababu kuu ya maradhi duniani kote.Uboreshaji wa mazingira una manufaa makubwa kuzuia athari athari za uchafu katika kaya na katika jamii.Usafi wa mazingira unahusu pia udumishaji wa ratiba ya usafi wa mazingira
Wednesday, October 24, 2012
Usafi Wa Mazingira
Usafi wa mazingira ni njia ya kuendeleza afya kwa njia ya kuzuia mawasiliano ya binadamu na athari za taka.Athari zinaweza kuwa za kimwili,mikrobiyolojia,biyolojia au kemikali vikolezo vya ugonjwa.
Monday, October 22, 2012
BIASHARA NDOGONDOGO.
Tanzania ni nchi mojawapo katika nchi tatu zinazoongoza kwa kasi ya kukua,kutokana na takwimu za vyama vya kimataifa.Na pia kutokana na takwimu hizo pia zinaonyesha uchumi wa bara la afrika unakua kwa kasi zaidi kuliko mabara mengine.
thumekua tukishuhudia watanzania wengi sasa wakijihusisha na ujasiriamali kwa kuanzisha biashara ndogondogo zinazowapatia kipato.
Tanzania ni nchi mojawapo katika nchi tatu zinazoongoza kwa kasi ya kukua,kutokana na takwimu za vyama vya kimataifa.Na pia kutokana na takwimu hizo pia zinaonyesha uchumi wa bara la afrika unakua kwa kasi zaidi kuliko mabara mengine.
thumekua tukishuhudia watanzania wengi sasa wakijihusisha na ujasiriamali kwa kuanzisha biashara ndogondogo zinazowapatia kipato.
Monday, October 8, 2012
Tuesday, October 2, 2012
TRADITIONAL DANCE
"Ngoma" is the majour tradional dance in Tanzania.Traditional dances come in a variety of stley including Omutoro,Amayago,Mulekule,Amakondele,Akasimbo,Mdundiko and so many others.These traditional songs differ in areas of origin and status,such as funeral ceremony songs,spiritual and wedding songs.
Tanzania's social fabric charm is the prime attraction for cultural and eco-tourism.The folklore,the traditional "Ngomas" and the dancing styles vary from one tribe to another .When dancing,the Makonde vibrates their bottoms in "Sindimba" and the"Zaramo" bounce the undulating "Mdundiko" procession.
The Maasai in their leaping dance going simultaneously with rythimic chant of their deep voices which can scare even a he lione! The use of live snakes by the "Sukuma" such as embracing huge pythons and struggling with during the "Bugobogobo" dance turn such as occasions into unforgettable scenes to a visitor.Each of the 120 tribes has its ngoma and dancing all of which styles are quite facinating and sometimes sexy.
Various dressing styles are also majour attraction to a visitor.The maasai men put a light toga-like drape inadequately covering their lithe bodies while carrying traditional weapons such as speaars,clubs and large knives.The Maasai women on the other way, heavily load their necks ,arms,legs and ears with jewelrly ranging from beads to metal ornaments.Usual men smear their bodies with Ochre mixed with animal fat and plait their hair.
Traditional dances in Tanzania also attract mostly the visitors from outside our coutry who are the tourists.Traditional dance should be promoted because most of the youth at present time engage them selves in dancing as their proffesion.
Subscribe to:
Posts (Atom)